Friday 12 July 2024

Full Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025 Hatua ya Awali

  AjiraLeo Tanzania       Friday 12 July 2024
WARNING
Beware of Job Scammers!
Please Never Pay Money To Get A Job!

Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025 Hatua ya Awali

Shirikisho la mpira barani Africa CAF limetangaza ratiba ya awali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika kwa msimu wa 2024/2025. Timu za Tanzania zinazoshiriki, Young Africans (Yanga) na Azam FC, zimepangiwa mechi za kuvutia katika hatua ya kwanza ya mchujo.

Ratiba ya Mechi za Yanga

Yanga, mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wataanza safari yao kwa kucheza dhidi ya Vital’O kutoka Burundi.

Full Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025 Hatua ya Awali
Full Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025 Hatua ya Awali

Mechi ya kwanza itachezwa nchini Burundi kati ya tarehe 16 na 18 Agosti, 2024, huku mechi ya marudiano ikipangwa kufanyika jijini Dar es Salaam kati ya tarehe 23 na 25 Agosti, 2024.

Kama Yanga watafanikiwa kuibuka washindi katika mchezo wa hatua hii, katika mchezo wao wa pili, watakutana na mshindi kati ya SC Villa Jogoo ya Uganda na Commercial Bank katika hatua ya pili ya mchujo.
CHECK NA HIZI:

Ratiba ya Mechi za Azam FC

Azam FC nao wataanzia kampeni yao nyumbani kwa kuikaribisha APR ya Rwanda kati ya tarehe 16 na 18 Agosti, 2024. Mechi ya marudiano itachezwa nchini Rwanda kati ya tarehe 23 na 25 Agosti, 2024.

Mshindi wa jumla kati ya Azam na APR atakutana na mshindi kati ya JKU ya Zanzibar na Pyramids FC ya Misri katika hatua inayofuata ya mchujo kabla ya kufuzu kwa hatua ya makundi.

Hii Apa Ratiba Kamili ya Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025 Hatua ya Awali

Mechi Namba Nyumbani VS Ugenini
M.1,2 AL Merreikh Bentiu VS Gor Mahia FC
M.3,4 Arta Solar7 VS Dekadaha FC
M.5,6 SC Villa Jogoo VS Commercial Bank
M.7,8 Vital’O FC VS Young Africans
M.9,10 Azam FC VS APR FC
M.11,12 JKU SC VS Pyramids FC
M.13,14 M. Swallows VS C. Fer. Da Beira
M.15,16 Ngezi Platinum Strs VS AS Maniema
M.17,18 Nyasa Big Bullets VS Red Arrows FC
M.19,20 African Stars VS Jwaneng Galaxy FC
M.21,22 Disciples FC VS Orlando Pirates
M.23,24 US Zilimadjou VS Rangers FC
M.25,26 St. Louis VS Sagrada Esperança
M.27,28 AS Douanes VS Coton Benin
M.29,30 AC Léopards VS CR Belouizdad
M.31,32 Victoria United VS FC Samartex
M.33,34 ASGN VS Raja CA
M.35,36 AS PSI VS US Monastirienne
M.37,38 Watanga FC VS MC Alger
M.39,40 Red Star VS Djoliba de Bamako
M.41,42 CD Mongomo VS ASKO de Kara
M.43,44 Std. D’Abidjan VS Teungueth FC
M.45,46 Milo FC VS FC Nouadhibou
M.47,48 Bo Rangers FC VS San Pedro
M.49,50 Libya 2 VS Al Hilal SC
M.51,52 Libya 1 VS El Merreikh
M.53,54 Remo Stars FC VS ASFAR Club
logoblog

Thanks for reading Full Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025 Hatua ya Awali

Previous
« Prev Post

No comments:

Post a Comment